Popular posts from this blog
SIMULIZI YA KWELI
Nililazimika kulala kwenye mitaro ili niweze kuiona kesho Miaka takribani saba iliyopita kwenye mtaa fulani hapa Njombe katika usiku wa giza zito uliofunikwa na baridi kali iliyochangamana na ukungu, wapo vijana kadhaa wamelala chini ya mitaro, wamesogeleana karibu ili angalau wapate joto katika miili yao. Mashuka yao ni maboksi yaliyotolewa vitu vya thamani na kutupwa jalalani. Kati ya vijana hawa ambao wamelala chini ya moja ya mitaro ya mji huu wa Njombe yupo kijana aitwaye John Mwingira ambaye kabla ya miaka saba iliyopita alikuwa akiishi nyumbani kwao Ifakara, wilayani Kilombero mkoani Morogoro. Huko alikuwa akiishi na wazazi wake wote wawili, lakini baadaye wazazi wake waliachana kufuatia kutokuwepo maelewano baina yao. Baba yake akahamia Njombe na mama yake akabakia Ifakara. “Baada ya wazazi wangu kuachana maisha yalikuwa magumu pale nyumbani Ifakara hivyo mama akanishauri nimfuate baba hapa Njombe, nilifika Njombe na kuonana na baba yangu am...
THE PAST AND PRESENT PERCEPTIONS TOWARDS DISABILITY:
INTRODUCTION Over the years, perceptions towards disability have varied significantly from one community to another. Limited literature in disability history, however, continues to pose a great challenge to students of disability studies in their endeavor to trace the development and formation of perceptions towards persons with disabilities. It is towards this end that this article seeks to present a coherent literature review on cross-cultural factors that influence perceptions towards children and adults with disabilities from a historical perspective. The final section provides a few examples that illustrate positive steps taken by the international community, and several countries, to improve disability perception. As Roeher (1969) observes, an examination of attitudes towards people with disabilities across culture suggests that societal perceptions and treatment of persons with disabilities are neither homogeneous nor static. Greek and Roman percep...
WATOTO WA MITAANI NA JINSI YA KUWASAIDIA
Ukatili dhidi ya watoto umeongeza idadi ya watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi licha ya kuwepo juhudi za kupambana na tatizo hilo. Watoto wanaoishi katika mazingira hayo, huathirika kisaikolojia kutokana na kujiingiza katika vitendo vya matumizi ya gundi na dawa za kulevya, huku sehemu ya jamii katika ngazi ya familia na kuficha tatizo badala ya kulipeleka kwenye vyombo vya dola. Wanafanya hivyo kwa maelezo kuwa wanaogopa aibu, matokeo yake kuna ongezeko la watoto wa mtaani, baadhi ambao bado wapo chini ya matunzo ya wazazi wao, lakini wanajiingiza katika tabia ya kuomba fedha na wanaonekana mitaani katika miji mbali mbali nchini. Ukatili unafanyika dhidi ya watoto kuanzia ngazi ya familia na ndugu wa karibu kwa kumbaka au kumlawiti mtoto anyeishi nao. Sheria ya mtoto namba 21 ya mwaka 2009, inalenga kurekebisha na kuimarisha sheria zote zihusuzo watoto, kuainisha haki, kukuza na kulinda maslahi bora ya watoto kwa mujibu wa sh...
Comments
Post a Comment