Hear my voice is taking central position in children with special needs.
Speak out, speak loud, speak about children with special needs, they depend on your voice.!!!
HAKI YA ELIMU KWA WALEMAVU
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
-
Wanafunzi walemavu barani Afrika
Haki ya utoaji wa elimu kwa walemavu inasalia kuwa suala tata miongoni mwa mataifa ya Afrika.
Nchini Tanzania hali kama hii inashuhudiwa huku shule zilizojengwa na
Makanisa nchini zikiwa katika mstari wa mbele kuwasaidia watoto
wenye ulemavu kupata elimu bora.
INTRODUCTION Over the years, perceptions towards disability have varied significantly from one community to another. Limited literature in disability history, however, continues to pose a great challenge to students of disability studies in their endeavor to trace the development and formation of perceptions towards persons with disabilities. It is towards this end that this article seeks to present a coherent literature review on cross-cultural factors that influence perceptions towards children and adults with disabilities from a historical perspective. The final section provides a few examples that illustrate positive steps taken by the international community, and several countries, to improve disability perception. As Roeher (1969) observes, an examination of attitudes towards people with disabilities across culture suggests that societal perceptions and treatment of persons with disabilities are neither homogeneous nor static. Greek and Roman percep...
YOHANA 9:2-7 Wanafunzi wake wakamwuliza Wakisema Radi, ni yupi aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata zaliwe kipofu? Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake. Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenipeleka maadamu ni mchana na usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi. Muda nilipo ulimwenguni mimi ni nuru ya ulimwengu. Alipokwisha kusema hayo alitema mate chini, akaifanya tope kwa yale mate. Akampaka kipofu tope za macho, akamwambia Nenda kanawe katika birika ya Siloamu, basi akaenda na kunawa; akarudi anaona. Basi jirani zake na wale waliomwona zamani kuwa ni mwombaji wakasema, Je! Huyu si Yule aliyekuwa akiketi na kuomba? Wengine wakasema, ndiye wengine wakasema La, lakini amefanana naye. Yeye mwenyewe alisema, Mimi ndiye. Mwandishi wa kitabu hiki amenikumbusha mbali, hasa kutokana na mitazamo hasi katika jamii dhidi ya walemavu kwa ujumla, ila pia nimepata amani hasa nili...
Nililazimika kulala kwenye mitaro ili niweze kuiona kesho Miaka takribani saba iliyopita kwenye mtaa fulani hapa Njombe katika usiku wa giza zito uliofunikwa na baridi kali iliyochangamana na ukungu, wapo vijana kadhaa wamelala chini ya mitaro, wamesogeleana karibu ili angalau wapate joto katika miili yao. Mashuka yao ni maboksi yaliyotolewa vitu vya thamani na kutupwa jalalani. Kati ya vijana hawa ambao wamelala chini ya moja ya mitaro ya mji huu wa Njombe yupo kijana aitwaye John Mwingira ambaye kabla ya miaka saba iliyopita alikuwa akiishi nyumbani kwao Ifakara, wilayani Kilombero mkoani Morogoro. Huko alikuwa akiishi na wazazi wake wote wawili, lakini baadaye wazazi wake waliachana kufuatia kutokuwepo maelewano baina yao. Baba yake akahamia Njombe na mama yake akabakia Ifakara. “Baada ya wazazi wangu kuachana maisha yalikuwa magumu pale nyumbani Ifakara hivyo mama akanishauri nimfuate baba hapa Njombe, nilifika Njombe na kuonana na baba yangu am...
Comments
Post a Comment