TANZANIA: MAISHA YA HATARI YA WATOTO WACHIMBA DHAHABU
Serikali, Benki ya Dunia, Wahisani Wanapaswa Kushughulikia swala la Ajira Kwa Watoto Migodini                                                                                                 Two 13-year-old boys dig for gold ore at a small-scale mine in Mbeya Region, Tanzania.                    © 2013 Justin Purefoy for Human Rights Watch.                                                            Vijana wadogo wakike na wakiume wa Kitanzania  wanashawishika kujiingiza katika uchimbaji wa dhahabu wakitumaini kupata  maisha bora, lakini baadae wanajikuta wamekwama katika mzunguko mbaya  wa hatari na kukata tamaa. Tanzania na wahisani wanahitaji kuwatoa  watoto hawa katika migodi na kuwaingiza shuleni ao katika mafunzo ya  ufundi stadi.                                                   Janine Morna, mtafiti wa haki za watoto wa shirika la Human Rights Watch               (Dar Es Salaam) – Watoto wenye umri mdogo wa  hadi miaka minane wanafanya kazi katika migodi midogo midogo ya dhahabu ...
