Hear my voice is taking central position in children with special needs.
Speak out, speak loud, speak about children with special needs, they depend on your voice.!!!
HAKI YA ELIMU KWA WALEMAVU
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
-
Wanafunzi walemavu barani Afrika
Haki ya utoaji wa elimu kwa walemavu inasalia kuwa suala tata miongoni mwa mataifa ya Afrika.
Nchini Tanzania hali kama hii inashuhudiwa huku shule zilizojengwa na
Makanisa nchini zikiwa katika mstari wa mbele kuwasaidia watoto
wenye ulemavu kupata elimu bora.
INTRODUCTION Over the years, perceptions towards disability have varied significantly from one community to another. Limited literature in disability history, however, continues to pose a great challenge to students of disability studies in their endeavor to trace the development and formation of perceptions towards persons with disabilities. It is towards this end that this article seeks to present a coherent literature review on cross-cultural factors that influence perceptions towards children and adults with disabilities from a historical perspective. The final section provides a few examples that illustrate positive steps taken by the international community, and several countries, to improve disability perception. As Roeher (1969) observes, an examination of attitudes towards people with disabilities across culture suggests that societal perceptions and treatment of persons with disabilities are neither homogeneous nor static. Greek and Roman percep...
YOHANA 9:2-7 Wanafunzi wake wakamwuliza Wakisema Radi, ni yupi aliyetenda dhambi, mtu huyu au wazazi wake, hata zaliwe kipofu? Yesu akajibu, Huyu hakutenda dhambi wala wazazi wake; bali kazi za Mungu zidhihirishwe ndani yake. Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenipeleka maadamu ni mchana na usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi. Muda nilipo ulimwenguni mimi ni nuru ya ulimwengu. Alipokwisha kusema hayo alitema mate chini, akaifanya tope kwa yale mate. Akampaka kipofu tope za macho, akamwambia Nenda kanawe katika birika ya Siloamu, basi akaenda na kunawa; akarudi anaona. Basi jirani zake na wale waliomwona zamani kuwa ni mwombaji wakasema, Je! Huyu si Yule aliyekuwa akiketi na kuomba? Wengine wakasema, ndiye wengine wakasema La, lakini amefanana naye. Yeye mwenyewe alisema, Mimi ndiye. Mwandishi wa kitabu hiki amenikumbusha mbali, hasa kutokana na mitazamo hasi katika jamii dhidi ya walemavu kwa ujumla, ila pia nimepata amani hasa nili...
Ukatili dhidi ya watoto umeongeza idadi ya watoto wanaoishi kwenye mazingira hatarishi licha ya kuwepo juhudi za kupambana na tatizo hilo. Watoto wanaoishi katika mazingira hayo, huathirika kisaikolojia kutokana na kujiingiza katika vitendo vya matumizi ya gundi na dawa za kulevya, huku sehemu ya jamii katika ngazi ya familia na kuficha tatizo badala ya kulipeleka kwenye vyombo vya dola. Wanafanya hivyo kwa maelezo kuwa wanaogopa aibu, matokeo yake kuna ongezeko la watoto wa mtaani, baadhi ambao bado wapo chini ya matunzo ya wazazi wao, lakini wanajiingiza katika tabia ya kuomba fedha na wanaonekana mitaani katika miji mbali mbali nchini. Ukatili unafanyika dhidi ya watoto kuanzia ngazi ya familia na ndugu wa karibu kwa kumbaka au kumlawiti mtoto anyeishi nao. Sheria ya mtoto namba 21 ya mwaka 2009, inalenga kurekebisha na kuimarisha sheria zote zihusuzo watoto, kuainisha haki, kukuza na kulinda maslahi bora ya watoto kwa mujibu wa sh...
Comments
Post a Comment