TANZANIA BINGWA KOMBE LA DUNIA KWA WATOTO WA MTANZANIA BINGWA KOMBE LA DUNIA KWA WATOTO WA MITAANI. ITAANI.
 
     FULL TIME!!!! TANZANIA HAVE WON THE STREET CHILD WORLD CUP 3-1 AGAINST BURUNDI!! SO PROUD OF OUR BOYS!          TANZANIA BINGWA KOMBE LA DUNIA KWA         WATOTO WA MITAANI.  Timu ya taifa  ya Tanzania kwa watoto wa mitaa ni imenyakua Kombe la Dunia kwa watoto wa  mitaani, katika mashindano yaliyozishirikisha timu za mataifa  mbalimbali duniani huko Rio de Janeiro, Brazil hapo jana.   Ikiwa  imetinga fainali za Kombe la Dunia kwa w   TANZANIA BINGWA KOMBE LA DUNIA KWA    WATOTO WA MITAANI.  atoto wa mitaani kwa mara ya  pili mfululizo, timu hiyo ya Tanzania imeweza kutwaa Kombe la Dunia kwa  Watoto wa Mitaani kama linavyojulikana Street Child World Cup hapa Rio  de Janeiro.   Tanzania  imetwaa ubingwa huo baada ya kuonyesha kiwango cha juu hata kuzishinda  timu ngumu kama Burundi, Marekani, Indonesia, Nicarague, Ufilipino na  Argentina.Katika mechi ya fainali Tanzania iliibanjua Burundi iliyokuwa  ikipewa nafasi kubwa ya kulinyakua kombe hili kwa ...