Mungu ni mwaminifu sana. Hawa watoto ni walemavu wa akili wapo shule ya msingi Milongo ya jijini Mwanza, pamoja na ulemavu wao ila wana vipaji vya ajabu sana. Katika maisha yangu wameweza kuniondolea ule mtazamo kuwa walemavu hawawezi jambo lolote katika maisha Yao, huyo binti ana kipaji cha uimbaji, na hao vijana wana vipaji mbalimbali kama vile kucheza mpira yote hiyo ni katika kuutambua ukuu wa Mungu. Sio hao tuu kuna mifano mbalimbali ya Watu wenye ulemavu na wana vipaji mbalimbali mfano Voice wonder mwimbaji kipofu wa Marekani, Lena Maria. Dada mlemavu wa viungo wa Sweden mwimbaji mzuri sana na wengine wengi, hiyo ni mifano michache katika kuthibitisha kuwa ulemavu si kutokuweza.

Comments

Popular posts from this blog

THE PAST AND PRESENT PERCEPTIONS TOWARDS DISABILITY:

AYA ZA BIBLIA KUHUSU WATU WENYE ULEMAVU

WATOTO WA MITAANI NA JINSI YA KUWASAIDIA